MUZIKI sio tu burudani, bali pia ni sehemu ya maisha ya kila siku ya wasanii. Mistari inayoandikwa na wasanii mara nyingi hutokana na maisha yao halisi.
Aina mpya ya muziki unaojulikana nchini Tanzania kama BONGO FLAVA umejipatia umaarufu barani Afrika. Muziki huo ulioanza miaka tisini kama aina mpya ya hip pop na R & B ya kitanzania mwanzoni hakupewa ...
Muziki ijumaa Juma hili Ali Bilali anazungumza na mwanamuziki wa kitambo wa miondoko ya Hip Hop kwenye muziki wa Bongo Fleva Toxy Star, ambae hivi karibuni ametoa audio na video yake mpya Chilax, ...
Muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania umeanza kujitengenezea njia mpya kwenye soko la muziki. Hatua hiyo ni baada ya wasanii wengi wa muziki huo kuanza kutumia ala za muziki wakiwa majukwaani na ...
Makala haya ya Muziki Ijumaa Juma hili muandishi wetu Ali Bilali anazungumza na msanii wa Bongo Fleva Baba Levo aliye tamba na kibao chake Vuvuzela na ambaye kwa sasa ameachia ngoma yake mpya"Sherehe' ...